Maelfu ya mashabiki wa soka ulimwenguni waendelea kumiminika huko Uwanja wa mpira wa Santos Vila Belmiro mjini Santos, Brazil kushiriki katika maombi ya saa 24 na kutoa heshima zao za mwisho kwa gwiji wa soka Pele aliyefariki Desemba 29. Maombolezo hayo yanaisha Jumanne na yatashuhudia jeneza la Pele likiondoka uwanjani na kutembezwa mitaani katika jiji hilo na hatimaye kupelekwa makaburini ambapo mfalme huyo wa soka atazikwa katika jumba maalum.
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.