Maelfu ya mashabiki wa soka ulimwenguni waendelea kumiminika huko Uwanja wa mpira wa Santos Vila Belmiro mjini Santos, Brazil kushiriki katika maombi ya saa 24 na kutoa heshima zao za mwisho kwa gwiji wa soka Pele aliyefariki Desemba 29. Maombolezo hayo yanaisha Jumanne na yatashuhudia jeneza la Pele likiondoka uwanjani na kutembezwa mitaani katika jiji hilo na hatimaye kupelekwa makaburini ambapo mfalme huyo wa soka atazikwa katika jumba maalum.
Matukio
-
Februari 04, 2023
Wananchi wa Peru washinikiza kufanyika uchaguzi, waandamana
-
Februari 04, 2023
Mkazi wa Haiti anayejulikana kimataifa, akanusha kujihusisha na uhalifu
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto
-
Februari 03, 2023
Seneta Michael Bennette ataka programu ya TikTok kuondolewa
-
Februari 03, 2023
Nairobi: Mkazi wa Dandora aeleza uchafuzi wa mazingira ulivyauathiri mto