Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 16, 2024 Local time: 13:33

VOA yakusogeza karibu na michuano ya Kombe la Dunia Qatar


VOA yakusogeza karibu na michuano ya Kombe la Dunia Qatar
please wait

No media source currently available

0:00 0:00:37 0:00

Mashabiki wa mpira wa soka duniani wamejiandaa na wako tayari kwa michuano ya Kombe la Dunia la FIFA yaliyopangwa kuanza Novemba 20 na watashuhudia wachezaji soka bora kabisa wakishiriki huko Qatar.

Tunakuomba uwe nasi VOA Swahili wakati tukikuletea habari kama zinavyotokea kuhusu michuano hiyo na uchambuzi wa wachezaji bora.

Makundi

XS
SM
MD
LG