Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 05:12

Tathmini ya athari za mabadiliko ya hali ya hewa zinazolikabili Bara la Afrika


Tathmini ya athari za mabadiliko ya hali ya hewa zinazolikabili Bara la Afrika
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:24 0:00

Janga la Ukame ambalo limepelekea watoto kukabiliwa na utapiamlo huku maelfu ya mifugo kufa. Huu ni ukame na njaa inavyoathiri mataifa mengi ya Pembe ya Afrika. Wakati huo huo mafuriko makubwa yanatokea Afrika Magharibi.

Hivyo basi athari za mabadiliko ya hali ya hewa ziko dhahiri bara zima la Afrika. Ungana na mwandishi wetu akikuletea repoti kamili mbalimbali zinazotakiwa kuchukuliwa kukabiliana na janga hili ...

XS
SM
MD
LG