Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 10:35

Mzozo wa Sahel Magharibi wachukuwa sura mpya, mauaji yaongezeka


Mzozo wa Sahel Magharibi wachukuwa sura mpya, mauaji yaongezeka
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:20 0:00

Wakati mzozo wa Sahel Magharibi ya Afrika ukiingia mwaka wake wa 11, kuanzia mapinduzi ya Mali mwaka 2012, ghasia zimekuwa mbaya sana. Takwimu zinaonyesha vifo 90,000 vinatokana na mzozo mwaka 2022 katika eneo hilo ikilinganishwa na idadi ya vifo 6,000 mwaka jana.

XS
SM
MD
LG