Mwili wa mtoto umepatikana kwenye ufukwe wa bahari ya Italy
Picha hii ambayo ilisambazwa na taasisi ya kimataifa ya Sea Watch, inamuonyesha muokoaji wa Kijerumani akiwa amembeba mtoto anayeonekana akiwa hana umri wa zaidi ya mwaka mmoja akiwa amefariki dunia. Picha hii ni muendelezo wa vifo zaidi elfu nane kutokea katika Mediterranean tangu mwaka jana
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC