Mwili wa mtoto umepatikana kwenye ufukwe wa bahari ya Italy
Picha hii ambayo ilisambazwa na taasisi ya kimataifa ya Sea Watch, inamuonyesha muokoaji wa Kijerumani akiwa amembeba mtoto anayeonekana akiwa hana umri wa zaidi ya mwaka mmoja akiwa amefariki dunia. Picha hii ni muendelezo wa vifo zaidi elfu nane kutokea katika Mediterranean tangu mwaka jana
Matukio
-
Januari 22, 2021
Ukanda wa Sahel wavamiwa na wanamgambo wa Kiislam
-
Januari 22, 2021
Utalii washika kasi Dubai, watalii waanza kuwasili
-
Januari 22, 2021
EU yamtaka Rais Putin kumuachia huru mwanaharakati Navalny
-
Januari 22, 2021
Michuano ya Olymipiki Japan kufanyika kama ilivyopangwa
-
Januari 22, 2021
Rais Biden ajikita kushughulikia COVID-19 siku ya kwanza ofisini
-
Januari 21, 2021
Biden aanza kutekeleza ahadi alizotoa kwa Wamarekani
Facebook Forum