- Shirika la ndege la Emirates linapanga kupunguza safari zake Nigeria katika hatua ya kudhibiti hasara inayoipata kutokana na kukwama kiwango kikubwa cha dola zake za Kimarekani nchini humo.
- Sudan yaripoti ambukizo la kwanza la virusi vya Monkeypox.
- Wahamiaji zaidi ya 1,000 wamewasili katika kisiwa cha Sicily nchini Italia.