Muungano wa ulinzi wa NATO, umesema kwamba meli hiyo imeimarisha doria katika bahari ya Baltic, kutokana na migogoro ya hivi karibuni katika eneo hilo.
Usalama umeimarishwa katika bahari ya Baltic, ikiwemo ndege na meli za kijeshi pamoja na ndege zisizokuwa na rubani kupiga doria sehemu hiyo.
Meli nne kubwa za kuondoa mabomu za Nato vile vile zimeelekea katika bahari ya Baltic.
Forum