Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 13:36

Mauaji ya Rwanda : Macron asema atambua jukumu la Ufaransa


Mauaji ya Rwanda : Macron asema atambua jukumu la Ufaransa
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:24 0:00

Rais Emmanuel Macron amesema anatambua jukumu la Ufaransa ambalo linajumuisha kuunga mkono utawala wa zamani wa kidhalimu nchini Rwanda na kupuuza maonyo ya kuwepo mauaji makubwa.

XS
SM
MD
LG