Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 03:44

Mashambulizi ya bunduki yanayowalenga vijana na watoto na haki ya kumiliki silaha


Mashambulizi ya bunduki yanayowalenga vijana na watoto na haki ya kumiliki silaha
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:10 0:00

Wiki hii Washington Bureau inaangazia mashambulizi ya bunduki yanayowalenga watoto na vijana nchini Marekani. Ungana na mwandishi wetu akiangalia athari za mashambulizi hayo kwa vijana na watoto na familia kwa ujumla na haki ya kumiliki silaha nchini.

XS
SM
MD
LG