Ulinzi unaongezwa Marekani na katika nchi nyingine kwenye majengo ya serikali, ya umma na viwanja vya michezo. Jumatatu April 15, 2013 mabomu mawili yalilipuka katika mitaa ya Boston, Marekani wakati wa mbio za marathon.
Marekani na nchi nyingine zaongeza ulinzi baada ya mashambulizi ya Boston
5
Maafisa wa FBI wakiwasili katika eneo la tukio karibu na sehemu ya kumalizia mbio ndefu za Boston, Massachusetts April 15, 2013.
6
Walinzi wa Malkia wakiwa mbele ya jumba la kifalme la Buckingham Palace wakiwa juu ya farasi karibu na eneo ambalo mbio za London marathon zitamalizikia Jumapili Aprili 21.
7
Askari wa ulinzi wa Marekani wakilinda doria katika kituo kikuu cha usarifi cha New York, Grand Central Terminal, mjini humo April 16, 2013.
8
Polisi wa Boston police wakilinda eneo la uwanja wa Copley mjini Boston.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017