Kinyozi wa marais
Kwa zaidi ya miaka 50 kinyozi mmoja mjini Washington,Diego D'Ambrosio, amekuwa akiwakata nywele watu mbali mbali mashuhuri na kukpekekea kuwa gwiji wa kazi yake. Umaarufu wake umemsababisha kuwa kinyozi wa marais kadhaa wa Marekani na hata viongozi wa nchi za nje Anajulikana kama kinyozi wa marais.
Matukio
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
-
Desemba 11, 2020
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden amtangaza waziri wa ulinzi
Facebook Forum