Michuano ya nusu finali ya kombe la vilabu bingwa Ulaya.
Kandanda Wiki hii, Mei 03, 2013

5
Cristiano Ronaldo kutoka Ureno akichezea Real Madrid wakati wa duru ya pili ya nusu finali ya Champions League kati ya Real Madrid na Borussia Dortmund mjini Madrid, Hispania, Jumanne, April 30, 2013.

6
Ronaldinho wa Brazil akichezea Atletico Mineiro, kushoto, akipigania mpira na Wellington clabu ya Brazil ya Sao Paulo FC wakati wa mchuano wa kombe la Copa Libertadores mjini Sao Paulo, Brazil, Alhamisi, Mei 2, 2013.

7
Mchezaji wa Fenerbahce, Dirk Kuyt, kutoka Uholanzi akipiga mkwaju wa penalti ya kwanza katika duru ya pili ya nusu finali ya Europa League dhidi ya timu ya Benfica mjini Lisbon, Alhamisi, Mei 2, 2013.

8
David Beckham (kati) wa Paris St-Germain akishindana na Youssef Adnane (kushoto) wa Evian Thonon Gaillard na kupata kadi nyekundu wakati wa mchuano wa ligi ya juu ya Ufaransa mjini Annecy April. 28, 2013.