Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 05:37

Jurgen Klopp: "Pep Guardiola ni kocha bora zaidi duniani"


Jurgen Klopp: "Pep Guardiola ni kocha bora zaidi duniani"
please wait

No media source currently available

0:00 0:06:49 0:00

Jurgen Klopp kocha nguli wa Liverpool anasema Kocha wa Man City Pep Guardiola ndiye kocha bora zaidi duniani.

Klopp alinganisha upinzani wa timu yake na Man City sawa na ushindani wa nguli wa tennis Rafael Nadal na mpinzani wake Roger Federer,

Timu hizo zitakutana uwanja wa Etihad katika mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza siku ya Jumapili

XS
SM
MD
LG