Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 19, 2024 Local time: 07:23

Jeshi likifanya doria Washington DC, baada ya tukio la uvamizi bungeni


Jeshi likifanya doria Washington DC, baada ya tukio la uvamizi bungeni
please wait

No media source currently available

0:00 0:00:29 0:00

Magari ya jeshi yakionekana kufanya doria katikati ya mji wa Washington, wakati mkuu wa polisi wa Bunge la Marekani anasema idara yake inachunguza ukosoaji mkubwa wa namna walivyokabiliana na uvamizi katika bunge hilo uliofanywa na wafuasi wa Rais Donald Trump.

XS
SM
MD
LG