Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 19, 2024 Local time: 08:49

Jacinda kuachia madaraka baada ya miaka mitano na nusu, dunia yapongeza utawala wake


Jacinda kuachia madaraka baada ya miaka mitano na nusu, dunia yapongeza utawala wake
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:20 0:00

Waziri Mkuu wa New Zealand Jacina Arden, ambaye aikuwa mmoja wa kizazi cha kwanza kuchaguliwa kama kiongozi na kuwa ni kiongozi wa kimataifa wa mrengo wa kushoto. Jacinda ametangaza anaachia madaraka baada ya miaka mitano na nusu wa kutumikia wadhifa huo. Viongozi kadhaa wa dunia walitoa heshima zao kwa ubora wa uongozi wake na kuwa mwanasiasa asiyependa mchezo. Akijizuia kulia, Arden aliwaambia wana habari huko Napier kwamba Februari 7 itakuwa ni siku yake ya mwisho kama Waziri Mkuu. ...

XS
SM
MD
LG