Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Desemba 07, 2025 Local time: 11:10

Imaam wa Kituo cha Kiislam aeleza Waislam wanaamini katika kuwakirimu wanadamu wenzao


Imaam wa Kituo cha Kiislam aeleza Waislam wanaamini katika kuwakirimu wanadamu wenzao
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:17 0:00

Katika msikiti uliopo katika mji wa Minneapolis wageni kutoka dini mbalimbali wanakusanyika pamoja katika chakula cha usiku kwa ajili ya kufuturu.

Ungana na mwandishi wetu akikuletea maelezo ya Imam kuhusu mantiki ya Nyumba ya Wazi ambayo inafanya daawa kwa kuwakaribisha watu wa imani mbalimbali kuja kujifunza Uislam. Endelea kusikiliza.

XS
SM
MD
LG