Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Machi 19, 2025 Local time: 19:34

Ghana na Algeria zaingia raundi ya pili AFCON 2015.


Timu ya taifa ya Ghana hatimaye imepata nafasi ya kuingia raundi ya pili baada ya kuichapa Afrika Kusini mabao 2-1 na Simba wa Teranga Senegal wameaga michuano hiyo baada ya kujikuta wakiangukia pua mbele ya Algeria kwa kushindwa 2-0. Kwa hivyo kundi la kifo lililokuwa wazi hatimaye Ghana na Algeria wameweza kufanikiwa kuingia raundi ya pili ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika 2015 kutoka kundi C.

XS
SM
MD
LG