Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Machi 26, 2025 Local time: 07:55

Bodi ya IMF yapitisha mpango wa nafuu wa deni la Tanzania


Bodi ya IMF yapitisha mpango wa nafuu wa deni la Tanzania
please wait

No media source currently available

0:00 0:00:49 0:00

Bodi ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) imepitisha mpango wa nafuu wa deni la Tanzania dola za Marekani milioni 14.3 kwa zaidi ya miezi minne ijayo.

XS
SM
MD
LG