Blinken akutana na Kagame, ajadili ripoti ya UN
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken Alhamisi amefanya majadiliano na Rais wa Rwanda Paul Kagame ikiwa ni juhudi za kupunguza mivutano kati ya Rwanda na jirani yake Congo juu ya shutuma kwamba serikali zote mbili zimelaumiana kuwa kila mmoja anawaunga mkono waasi waupande mwengine.
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.