Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 00:01

Angela anajiandaa kushiriki michuano ya Tennis ya Roland Garros Ufaransa


Angela anajiandaa kushiriki michuano ya Tennis ya Roland Garros Ufaransa
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:18 0:00

Mkenya mwenye kipaji cha Tennis Angella Okutoyi, 17, aliyeweka historia katika michuano ya mwaka 2022 ya Australia Open kwa kuwa mwanamke wa kwanza kushinda michuano ya vijana junior grand slam anajiandaa kushiriki katika michuano ya Roland Garros Ufaransa.

XS
SM
MD
LG