Loius Moreno Acampo, mkuu wa mashitaka huko the Hague akataa kutangaza majina ya watuhumiwa katika ghasia za baada ya uchaguzi Kenya. Viongozi zaidi ya 50 wahudhuria mkutano wa nchi zisizofungamana na upande wowote Misri.
Loius Moreno Acampo, mkuu wa mashitaka huko the Hague akataa kutangaza majina ya watuhumiwa katika ghasia za baada ya uchaguzi Kenya. Viongozi zaidi ya 50 wahudhuria mkutano wa nchi zisizofungamana na upande wowote Misri.