Marekani ilikuwa miongoni mwa nchi 14 zilizopiga kura ya "hapana", ambazo Thomas-Greenfield alisema ziliendana na msimamo wa Washington kuhusu "hatua za upande mmoja ambazo zinadhoofisha matarajio ya suluhisho la serikali mbili."
Mkutano Mkuu wa UN unafanyika wakati dunia inakabiliwa na changamoto mbalimbali
Suala la kwanza kwenye orodha hiyo, ni Gaza. Hapa, msimamo wa Marekani hauwiani na wa wajumbe wengine kwenye baraza hilo, ambalo wiki iliyopita lilipitisha kwa wingi wa kura, azimio la kuitaka Israel ikomeshe hatua ya kukalia kwa mabavu eneo la Palestina ndani ya miezi 12 ijayo.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017
Forum