Zelenskyy amesema kuwa nchi yake imepokea ujumbe wa huruma kutoka kote ulimwenguni juu ya ugaidi huo. Kwa upande wao Russia imesema jeshi lake halivamii makazi ya watu au miundombinu ya kijamii. Msemaji wa Kremlin amedai mashambulizi yanafanyika katika maeneo ya kijeshi yaliyo wazi na kujificha.