Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 03:16

DRC: Serikali yadai waasi wa ADF wamehusika na shambulizi la bomu kanisani


DRC: Serikali yadai waasi wa ADF wamehusika na shambulizi la bomu kanisani
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:32 0:00

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kupitia Gavana wa Kivu kaskazini ametembelea mji wa Kasinga ambapo kumetokea mlipuko wa bomu katika kanisa moja.

Mlipuko huo umesababisha vifo, umewajeruhi baadhi ya waumini na kuharibu jengo. Ungana na mwandishi wetu akikuletea taarifa kamili kuhusu hatua ambazo serikali inachukua kuhakikisha usalama wa wananchi...

XS
SM
MD
LG