Picha zilizochukuliwa kwa ndege zimeonyesha mamia ya magari ya kila aina yakiwa wamerundikana kwenye sehemu moja ya barabara kuu ilifunikwa na ukungu. Taarifa zimeongeza kusema kwamba takriban gari 200 zilihisika kwenye ajali hiyo karibu na mji wa Zhenghou, katika jimbo la Henan.
Ukungu mwingi ulijikusanya nyakati za asubuhi kwenye daraja la mto wa Yellow River mjini humo, na kusababisha msongamano mkubwa wa magari uliopelekea ajali hiyo.