Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 01:36

Jeshi la DRC laitaka Rwanda na waasi wa M23 kuondoka maeneo wanayokalia


Jeshi la DRC laitaka Rwanda na waasi wa M23 kuondoka maeneo wanayokalia
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:58 0:00

Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) laeleza masikitiko yake kuona waasi wa M23 wanaendelea na mashambulizi dhidi yao. Msemaji wa jeshi anaeleza kuwa waasi wa M23 na jeshi la Rwanda linapaswa kuondoka katika maeneo ya DRC na kurudi kule walikotokea.

XS
SM
MD
LG