Mapigano hayo yanaendelea kwa siku ya pili, huku jeshi la DRC likisema limefanikiwa kuwarudisha nyuma waasi wa M23 waliokuwa na lengo la kuuteka mji wa Kibumba ambao ni mji mkuu wa Kivu Kaskazini unaopakana na Rwanda. Sikiliza repoti kamili kutoka kwa mwandishi wetu akieleza hali ya wananchi na hatua serikali inayochukua ...
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.