Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 17:30

Rais Ruto asisitiza wanajeshi wa Kenya wanaenda DRC kuwalinda wanaadamu


Rais Ruto asisitiza wanajeshi wa Kenya wanaenda DRC kuwalinda wanaadamu
please wait

No media source currently available

0:00 0:10:24 0:00

Rais wa Kenya William Ruto ametangaza kuwa wanajeshi wa kenya watajiunga na kikosi cha Jumuiya ya Afrika Mashariki kinachopelekwa mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ili kupambana na makundi ya waasi.

XS
SM
MD
LG