Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 14:07

Muathirika wa mauaji ya Beni aeleza alivyonusurika yeye na mkewe


Muathirika wa mauaji ya Beni aeleza alivyonusurika yeye na mkewe
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:05 0:00

Eneo la Ngadi lilioko kusini mwa mji wa Beni, Kivu Kaskazini ambako kulifanyika mauaji ya kwanza ya kinyama 2014 na miili ya watu 33 ilikutwa imeuawa kwa kukatwa mapanga.

Hata hivyo mwandishi wetu anaeleza kuwa bado hali ni ya wasiwasi mpaka leo. Mmoja wa manusura wa tukio hilo ambaye alitekwa anaeleza hali ilivyokuwa siku hiyo ya mauaji na jinsi yeye na mkewe walivyonusurika...

XS
SM
MD
LG