Wimbi jipya la COVID latishia kujitokeza barani Ulaya, wataalam wa afya ya umma waonya
Wimbi jipya la COVID-19 linaonekana kufukuta huko Ulaya wakati hali ya baridi ikianza, huku wataalam wa afya ya umma wakitahadharisha kwamba kulegalega utoaji wa chanjo na mkakanganyiko juu ya aina ya chanjo zinazopatikana huenda ikachangia kuzorotesha watu kupiga chanjo ya ziada yaani booster.
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.