Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 18:03

Wimbi jipya la COVID latishia kujitokeza barani Ulaya, wataalam wa afya ya umma waonya


Wimbi jipya la COVID latishia kujitokeza barani Ulaya, wataalam wa afya ya umma waonya
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:03 0:00

Wimbi jipya la COVID-19 linaonekana kufukuta huko Ulaya wakati hali ya baridi ikianza, huku wataalam wa afya ya umma wakitahadharisha kwamba kulegalega utoaji wa chanjo na mkakanganyiko juu ya aina ya chanjo zinazopatikana huenda ikachangia kuzorotesha watu kupiga chanjo ya ziada yaani booster.

XS
SM
MD
LG