Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 19:57

Wajasiriamali Mombasa wauza pikipiki mpya rafiki kwa mazingira


Wajasiriamali Mombasa wauza pikipiki mpya rafiki kwa mazingira
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:31 0:00

Vijana wajasiriamali waleta mapinduzi makubwa katika soko la bajaji mjini Mombasa, Kenya ambapo wanauza bajaji mpya zinazotumia umeme zinazogharimu takriban dola 4,000.

Mjasiriamali anaeleza kuwa TukTuk hizi mbali na kupunguza gharama ya mafuta kwa vijana wanaozinunua pia zitaleta mabadiliko makubwa katika kulinda mazingira na ni Rafiki kwa mazingira

XS
SM
MD
LG