Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 18:19

Wananchi wa Goma watoa maoni kufuatia amri ya Rais Tshisekedi ya kuwakamata viongozi


Wananchi wa Goma watoa maoni kufuatia amri ya Rais Tshisekedi ya kuwakamata viongozi
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:15 0:00

Wananchi wa Goma, Kivu Kaskazini wanaeleza hisia zao juu ya uamuzi wa Rais Felix Tshisekedi kutoa amri ya kukamatwa mshauri wake anayehusika na masuala ya kiusalama na wengine waliokuwa karibu naye.

XS
SM
MD
LG