Hali ya sintofahamu yazuka Libya baada ya uchaguzi kuahirishwa, mchakato wa amani waingia dosari, serikali ya mpito ikiwa mashakani.
Idadi ya kesi zilizo thibitishwa za COVID-19 Marekani zaongezeka kufikia milioni 50 hadi Jumatano
Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari