Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 06:02

Ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani nchini Kenya

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken anaendelea na ziara yake ya mataifa matatu akiwa tayari nchini Nigeria. Ziara yake itakayo chukua siku tano akiwa tayari amezuru Kenya, na anatarajiwa kumalizia na Senegal.

Akizungumza mbele ya kundi la wanaharakati wa haki za binadamu Jumatano wiki hii mjini Nairobi huko Kenya, Blinken alisema hata demokrasia iliyochangamka kama Kenya imekuwa hatarini zaidi kwa taarifa zisizo sahihi, ufisadi, ghasia za kisiasa, na manyanyaso kwa wapiga kura.


Makundi

XS
SM
MD
LG