Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 12:54

Prof Gurnah apewa tuzo ya Nobel ya Fasihi


Prof Gurnah apewa tuzo ya Nobel ya Fasihi
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:02 0:00

Mwandishi mzaliwa wa Tanzania Abdulrazak Gurnah apewa tuzo ya Nobel ya Fasihi. Gurnah, aliyekulia visiwani Zanzibar na kuhamia nchini Uingereza kama mkimbizi katika kipindi cha mwisho cha miaka ya 1960, ni Muafrika wa tano kushinda tuzo ya Fasihi ya Nobel.

XS
SM
MD
LG