Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Desemba 07, 2025 Local time: 13:23

Utawala wa Biden waahidi kuendelea kuwaondoa watu Afghanistan


Utawala wa Biden waahidi kuendelea kuwaondoa watu Afghanistan
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:36 0:00

Hata kama muda wa kuwaondoa watu utamalizika Agosti 31, bado utawala wa Rais wa Marekani Joe Biden na washirika wake wanasema wamepata tamko la Taliban kuwaruhusu watu kusafiri nje ya Afghanistan hata baada ya kuondoka kwao.

XS
SM
MD
LG