Watu 16 wauawa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) katika shambulizi linalodaiwa kufanywa na waasi wa kikundi chenye msimamo mkali wa kidini cha ADF.
Duniani Leo : Julai 23 : Shambulizi linalodaiwa kufanywa na ADF lauwa 16 DRC
- Serikali ya Zanzibar yaendelea kutoa chanjo za COVID-19 ikilenga kufikia watu milioni 1.
- Ufunguzi rasmi wa Michezo ya Olimpiki wafanyika Ijumaa mjini Tokyo, Japan.