Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 18:34

Tshisekedi awatembelea walioathiriwa na volcano Goma


Tshisekedi awatembelea walioathiriwa na volcano Goma
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:41 0:00

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) atembelea wananchi walioathiriwa na mlipuko wa volcano huko Goma ambao wamepiga kambi hadi sasa mashuleni, baada ya makazi yao kuteketezwa na volcano.

XS
SM
MD
LG