- Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta aahidi kwamba watengenezaji wa silaha haramu watakao jisalimisha watapewa kazi na serikali.
- Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris arejea nyumbani kufuatia ziara yake ya Amerika ya Kati.
- Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris arejea nyumbani kufuatia ziara yake ya Amerika ya Kati.