Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 11:50

Rais Biden aanza ziara ya kikazi Ulaya


Rais Biden aanza ziara ya kikazi Ulaya
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:01 0:00

Rais wa Marekani Joe Biden aanza ziara yake ya kwanza nje ya nchi tangu kuingia madarakani.

- Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta aahidi kwamba watengenezaji wa silaha haramu watakao jisalimisha watapewa kazi na serikali.

- Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris arejea nyumbani kufuatia ziara yake ya Amerika ya Kati.
XS
SM
MD
LG