Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 14:45
VOA Direct Packages

Duniani Leo : Aprili 19 : Wananchi wanaeleza hisia mseto kuhusu hatma ya kesi ya Floyd


Duniani Leo : Aprili 19 : Wananchi wanaeleza hisia mseto kuhusu hatma ya kesi ya Floyd
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Hisia mseto zatolewa na wananchi katika kesi ya mauaji inayomkabili afisa wa zamani wa polisi Derek Chauvin, Minneapolis, Jimbo la Minnesota, Marekani.

- Mkosoaji mkubwa wa Rais wa Russia ​Alexei Navalny ahamishiwa hospatilini huku afya yake ikisemekana kuzorota zaidi alipokuwa gerezani.

- Ethiopia yatangaza hali ya hatari katika eneo la kusini la jimbo la Amhara huku vurugu zikiendelea katika miji kadhaa.

Makundi

XS
SM
MD
LG