Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 07:44

Polisi Marekani wakabiliana na waandamanaji wanaopinga mauaji ya Wright


Polisi Marekani wakabiliana na waandamanaji wanaopinga mauaji ya Wright
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Polisi wapambana tena na waandamanaji kuzuia maandamano yanayo pinga kifo cha Mmarekani Mweusi, Daunte Wright, huko Brooklyn Center, Minnesota, Marekani

- Baadhi ya majimbo yanafuata uamuzi wa kusitisha chanjo ya COVID-19 iliyotengenezwa na kampuni ya John & Johnson.

- Umoja wa Afrika wataraji kufungua vituo vitano vya utengenezaji wa chanjo katika kipindi cha miaka 15 ijayo.
XS
SM
MD
LG