Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 15:30

Magufuli : ...Hatutaweka 'lockdown', ...tunajua Mungu yupo siku zote.


Magufuli : ...Hatutaweka 'lockdown', ...tunajua Mungu yupo siku zote.
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:34 0:00

Rais Magufuli wa Tanzania amesema wakati wa kuuaga mwili wa Katibu Mkuu Kiongozi marehemu John Kijazi, serikali yake haitaweka lockdown na kuongeza "Tumeshinda mwaka jana mpaka tukaingia uchumi wa kati na corona ipo... Wala hatukuweka lockdown."

XS
SM
MD
LG