Baraza la Seneti Marekani latarajia kujadili msaada wa ahueni ya kiuchumi ya dola za Marekani Trilioni 1.9 na kesi ya kumshtaki Rais za zamani Donald Trump
Duniani Leo : Seneti Marekani kujadili msaada wa ahueni na kesi ya Trump
- Mvutano wa kisiasa wazuka Somalia baada ya muda wa kufanya uchaguzi mkuu kupita.
- Malawi yataraji kupokea dozi ya kwanza ya chanjo ya COVID-19.