Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 08:21

Uchaguzi wafanyika Uganda katika hali ya wasiwasi


Uchaguzi wafanyika Uganda katika hali ya wasiwasi
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:01 0:00

Uchaguzi Mkuu nchini Uganda wafanyika katika mazingira ya kuzimwa mtandao wa intaneti, wanajeshi kushika doria huku wasiwasi ukienea juu ya uwezekano wa kutokea ghasia.

-Baraza la Wawakilishi lamfungulia mashtaka Rais Donald Trump wiki moja kabla ya kuondoka madarakani.
-Rais John Pombe Magufuli ampongeza Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff kwa kuridhia kuunda serikali ya umoja wa kitaifa.
XS
SM
MD
LG