-Australia inaihimiza China kuruhusu maafisa wa WHO kuingia kuchunguza sehemu ambapo virusi vya corona vilijitokeza mwanzoni mwa mlipuko wa COVID-19.
-Malalamiko na maandamano dhidi ya mauaji ya Washia wa kabila la Hazara nchini Pakistani yaliofanywa na wanamgambo wa Islamic State siku ya Jumapili yameenea nchi nzima.
-Malalamiko na maandamano dhidi ya mauaji ya Washia wa kabila la Hazara nchini Pakistani yaliofanywa na wanamgambo wa Islamic State siku ya Jumapili yameenea nchi nzima.