Serikali ya Rais Donald Trump imetangaza kuwaondowa wanajeshi wake kutoka Somalia, baada ya kutangaza kuwaondowa walioko Afghanistan na Iraq.
Wakiosowaji wasema uwamuzi huo utawapa nguvu wapiganaji wa Al-Shabab na kudhoifisha juhudi za Umoja wa Afrika kupambana na kundi hilo la kigaidi nchini humo.