Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 17:22

Baadhi ya Wamarekani wakaidi onyo la kusafiri sikukuu ya 'Thanksgiving'


Baadhi ya Wamarekani wakaidi onyo la kusafiri sikukuu ya 'Thanksgiving'
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:56 0:00

Mamilioni ya Wamarekani wakaidi tahadhari ya kutosafiri iliyotolewa na vituo vya kudhibiti magonjwa vikiwataka kubakia majumbani wakati wa sikukuu ya shukrani hivyo kusababisha hofu ya kuongezeka kwa maambukizi.

XS
SM
MD
LG