No media source currently available
Zitto ataka uamuzi wa kumchagua rais wa Zanzibar waachiwe wananchi wa Zanzibar na hoja ya kutoa shikamoo asema haina mashiko. Aliyazungumza hayo hivi karibuni katika mkutano wa ACT Wazalendo ya kuwachagua wagombea urais, Dar es Salaam, Tanzania.