Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 21, 2025 Local time: 11:31

Tetemeko La Ardhi Lapiga Uturuki lauwa 20


Tetemeko La Ardhi Lapiga Uturuki lauwa 20
please wait

No media source currently available

0:00 0:00:50 0:00

Tetemeko lenye nguvu la ardhi limeua watu 20 na kujeruhi zaidi ya watu 1,000 mashariki mwa Uturuki, Ijumaa, wakati timu za waokoaji zikiendelea kutafuta walionusurika katika kifusi Jumamosi.

XS
SM
MD
LG