Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 14:44

Sheria mpya ya uraia yaleta vurugu India


Sheria mpya ya uraia yaleta vurugu India
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:10 0:00

Polisi nchini India imewakamata darzeni za watu wanaopinga sheria mpya ya uraia wakati wa maandamano Alhamisi, Disemba 18, 2019.

Maandamano hayo yanaonyesha upinzani wa hali ya juu ambao Waziri Mkuu Narendra Modi amewahi kukabiliwa nao tangu alipochukuwa madaraka miaka sita iliyopita ambapo alikuwa anafaidika na wimbi la kukubalika.
Serikali ya Modi ina nguvu ikiwa ni ya waliowengi katika chama chake na wachache katika serikali yake walitegemea machafuko dhidi ya sheria hiyo iliyopitishwa.

XS
SM
MD
LG